Sunday, May 26, 2013

TAIFA STARS WABADILI MUONEKANO NA SASA NI NDANI YA SUTI KALI.

Wachezaji wa Taifa Stars na benchi la ufundi katika picha ya pamoja wakionesha suti zao ambazo zimebuniwa na mbunifu Sheria Ngowi.

Wachezaji wa Taifa Stars, benchi la ufundi na maofisa wakuu wa TBL katika picha ya pamoja wakati wa kuonesha suti mpya


John Bocco na Erasto Nyoni


No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...