Monday, October 27, 2014

JOB VACANCIES - POSTAL BANK OF TANZANIA.

TATIZO LA MAJIKWA MJI WA MPANDA LATATULIWA, NI CHANZO CHA MAJI IKORONGO.

Mhandisi Happiness Magalula, Naibu Katibu Mtendaji anayesimamia Klasta ya Miundombinu na Huduma (mwenye sweta la blue) akitaka ufafanuzi wa miundombinu ya kuwezesha maji kuwafikia wananchi kutoka katika chanzo hicho. Bomba la inchi kumi limetandazwa kutoka kwenye chanzo hicho mpaka mjini ambako kuna tanki kubwa la maji yanayosambazwa katika mji wa Mpanda na vitongoji vyake

Na Mwandishi wetu, Katavi
Chanzo cha maji cha chemichemi ya Ikorongo ambacho ni cha asili kipo kilometa 13.2 kutoka Mpanda mjini, mkoani Katavi. Chanzo hiki cha maji kinazungukwa na miti na uoto wa asili unaolinda maji hayo yawe safi na salama kwa matumizi ya binadamu.
Mhandisi wa Maji wa Mkoa wa Katavi Magdalena Mkeremi anasema chanzo hiki cha maji ni chemichemi yenye maji masafi yasiyokauka hata wakati wa kiangazi.
Chanzo hiki kina uwezo wa kuzalisha zaidi ya lita milioni sita kwa siku.
Mradi wa maji wa Mji wa Mpanda ni wa gharama nafuu kwa sababu hautumii pampu ya aina yoyote bali maji husambazwa kwa njia ya mserereko (gravity).
Bomba kubwa la maji la inchi kumi limelazwa kutoka kwenye chanzo na kupelekwa Kazima kwenye tanki kubwa la ujazo wa lita milioni moja ambalo limejengwa eneo la kilometa 13 kutoka kwenye chanzo cha maji.  Vile vile  maji kutoka kwenye tanki hilo na kwenda mjini na katika mitaa au vijiji pia hutumia mserereko hivyo, kurahisisha gharama zake.

Friday, October 24, 2014

Ukarabati na Upanuzi wa Uwanja wa Ndege wa Mpanda wakamilika

Timu ya ukaguzi ikitazama barabara ya kutua na kurukia ndege katika uwanja wa ndege wa Mpanda.
Na Mwandishi wetu, Mpanda
Serikali imekamilisha ukarabati na upanuzi wa uwanja wa ndege wa Mpanda, mkoa wa Katavi na hivyo kuufanya uwe wa kiwango kizuri tayari kwa kutumika kwa ndege za binafsi na biashara.
Meneja wa Uwanja wa Ndege wa Mpanda, Bw Seneti Lyatuu alisema uwanja huo umeboreshwa na hivyo, unaweza kutumika kutua na kuruka ndege za kiwango cha kati na hata zile ndege kubwa zinaweza kutua kwa dharura.
Aliiambia timu ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kutoa Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango iliyotembelea uwanja huo mwishoni mwa wiki kuwa uwanja huo umeongeza idadi ya wasafiri mara dufu kutokana na ukarabati na upanuzi uliofanyika.
Meneja wa Uwanja huo alisema idadi ya abiria imeongezeka kutoka abiria 285 mwaka 2009 hadi 2,390 mwaka 2013/14.
Bw. Lyatuu alisema kuwa uwanja huo umekarabatiwa na barabara ya kuruka na kutua ndege imerefushwa kwa kiwango cha lami kutoka urefu wa mita 1,500 na upana wa mita 30 hadi kufikia urefu wa mita 1,820 na upana wa mita 30.

Wednesday, October 22, 2014

MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO - TANZANIA BROADCASTING CORPORATION (TBC) 21/10/2014.

MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO - TBC 21/10/2014
 WASILIWA WALIOFANIKIWA KUENDELEA NA USAILI WA MAHOJIANO WANATAKIWA KUZINGATIA MAHALI NA MUDA WA USAILI.
KADA: PRODUCER II               
MWAJIRI: TANZANIA BROADCASTING CORPORATION (TBC)
TAREHE: USAILI WA MAHOJIANO 22/10/2014, SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
MAHALI: TBC TAIFA - NYERERE ROAD               

EXAM NUMBERS        SCORE    REMARKS
PSRS-TBC-PRD-031    60       SELECTED
PSRS-TBC-PRD-013    55.5    SELECTED

Monday, October 20, 2014

UKAGUZI WA BARABARA YA TUNDUMA - SUMBAWANGA

Kaimu Meneja wa wakala wa Barabara Mkoa wa Mbeya, Mhandisi Masuka Nkina (wa kwanza kulia mwenye shati jeupe) akitoa maelezo juu ya utendaji kazi wa mizani ya Nkangamo katika barabara ya Tunduma – Laela- Sumbawanga. Utendaji wa mizani hiyo ni kwa kutumia kompyuta ambapo mteja anachapishiwa risiti yake hapo hapo inayoonyesha taarifa zake zote. Kama mzigo utakuwa umezidi pia risiti hiyo itaonyesha faini anayotakiwa kulia.

ADDITIONAL LIST OF SELECTED CANDIDATES 2014/2015 MZUMBE - BATCH ELEVEN.

CANDIDATES SELECTED TO JOIN BACHELOR DEGREE PROGRAMMES 2014/2015 - DIT.

Friday, October 17, 2014

UDSM ADMISSION 2014/2015 - BATCH 8 TO 10.

SELECTED APPLICANTS SAUT 2014/2015 - 8 TO 12 BATCH.

TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI - UTUMISHI.

MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO UTUMISHI - ULIOFANYIKA 11-10-2014

MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO ULIOFANYIKA TAREHE 11/10/2014 KWA KADA YA HUMAN RESOURCES OFFICER II NA AUDITO II 
 WASAILIWA WALIOFANIKIWA KUENDELEA NA USAILI KWA KADA YA AUDITOR II, WATAFANYA USAILI WA VITENDO (PRACTICAL), MAHALI - CHUO CHA UHASIBU (TIA) - KURASINI-DAR ES SALAAM TAREHE 22/10/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI, NA KISHA USAILI WA MAHOJIANO TAREHE23/10/2014, MAHALI: OFISI ZA SEKRETARIETI YA AJIRA, MAKTABA KUU YA TAIFA GHOROFA YA PILI - DAR ES SALAAM, SAA MOJA KAMILI ASUBUHI.
KADA: HUMAN RESOURCES OFFICER II
MWAJIRI: MDA's & LGA's
TAREHE: 24/10/2014, USAILI WA MAHOJIANO, SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
MAHALI: SEKRETARIETI YA AJIRA, MAKTABA KUU YA TAIFA GHOROFA YA PILI - DAR ES SALAAM.
EXAMINATION NO          SCORE    REMARKS
PSRS HRO DSM 0677            75    SELECTED
PSRS HROSHINYANGA 1801  75    SELECTED
PSRS HROSHINYANGA 1799  75    SELECTED
PSRS HRO SINGIDA1109        74   SELECTED
PSRS HRO TABORA 1745      74    SELECTED

Thursday, October 16, 2014

JOB VACANCY - TANZANIA POSTAL BANK.

SCHOLARSHIPS FOR GRADUATE STUDENTS ON ECOHEALTH.

TANGAZO LA KUITWA KAZINI - HALMASHAURI YA JIJI LA ARUSHA.

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES TANESCO - MWANZA.

Background – TANESCO http://www.tanesco.co.tz

Tanzania Electric Supply Company (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products for Tanzanians. Next to its current passion as a leading provider of electricity is to be more efficient customer focused utility for Tanzania and beyond. The Company has the largest electricity generation, transmission and distribution network in Tanzania. In order to reach its goals, the Company is investingheavily in its generation, transmission and distribution network, its business systems and human capital. TANESCO now invites applicants who are self-motivated, honest, hardworking and committed individuals to fill the under-mentioned posts in theBusiness Unit of Distribution and Customer Services(Finance): at Mwanza Region.
Specific attributes for the positions to be filled:
  1. Demonstrate impeccable performance track record,
  2. Demonstrate highest degree of integrity,
  3. Possess good communication and interpersonal skills;
  4. Be self-driven and capable of working with minimal supervision;
  5. Be capable of delivering excellent results while working under pressure with tight deadlines;
STORES ASSISTANT- (1 POST)
POSITION OBJECTIVE
To ensure that materials are well procured, stored and issued according to procedures.

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES ENGINEERS - TANESCO

Background – TANESCO  http://www.tanesco.co.tz

Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products for Tanzanians. Next to its current passion as a leading provider of electricity is to be more efficient, customer focused utility for Tanzania and beyond. The Company has the largest electricity generation, transmission and distribution network in Tanzania. In order to reach its goals, the Company is investing heavily in its generation, transmission and distribution network, its business systems and human capital. TANESCO now invites applicants who are self-motivated, honest, hardworking and committed individuals to fill the under-mentioned posts.

 
Specific attributes for the Positions to be filled:
All Candidates must:
  1. Demonstrate impeccable performance track record.
  2. Demonstrate highest degree of integrity.
  3. Possess good communication and interpersonal skills.
  4. Be self-driven and capable of working with minimal supervision.
  5. Be capable of delivering excellent results while working under pressure with tight deadlines.
  6. Possess knowledge and competency in Information and Communication Technology (ICT) application.
  7. Professional skills in distribution management system.
  8. Electrical power Networking and load flow.
  9. Real time systems.
  10. Energy Management systems software and automation.
  11. Problem solving skills.
  1. MAINTENANCE ENGINEERS (2 POSTS)
Reports To: Principal Engineer Mwanza and Senior Engineer Mara
  Reporting Office: Mwanza & Mara
POSITION OBJECTIVE:
Implements construction and maintenance of distribution networks as per regional plans in order to meet set targets

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES TANESCO - KIGOMA

Background – TANESCO  http://www.tanesco.co.tz

Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) is focusing on increasing the outreach and service quality of its Energy products for Tanzanians. Next to its current passion as a leading provider of electricity is to be more efficient, customer focused utility for Tanzania and beyond. The Company has the largest electricity generation, transmission and distribution network in Tanzania. In order to reach its goals, the Company is investing heavily in its generation, transmission and distribution network, its business systems and human capital. TANESCO now invites applicants who are self-motivated, honest, hardworking and committed individuals to fill the under-mentioned posts at Kigoma Region.
Specific attributes for the Positions to be filled:
All Candidates must:
  1. Demonstrate good work performance track record;
  2. Demonstrate highest degree of integrity;
  3. Possess good communication and interpersonal skills;
  4. Be self-driven and capable of working with minimal supervision;
  5. Be capable of delivering excellent results while working under pressure with tight deadlines;
  6. Possess knowledge and competency in Information and Communication Technology (ICT) application.
  7. Professional skills in distribution management system.
  8. Problem solving skills.
    1. ELECTRICAL TECHNICIANS (4 POSTS) KIGOMA & KIBONDO

Reports To: Mains Supervisor- Kigoma and Kibondo
 Reporting Office: Kigoma & Kibondo 
POSITION OBJECTIVE:
Implements construction and maintenance of distribution networks as per regional plans in order to meet set targets.
PRINCIPAL ACCOUNTABILITIES:
  • Implements and supervises construction of approved distribution lines extension to ensure that more customers are connected as per targets.
  • Implements distribution system maintenance plans and supervises all maintenance works to ensure power reliability and distribution losses reduction.
  • Implement maintenance of distribution substations to ensure reliability of supply.
  • Proposes preventive maintenance plans to improve distribution system performance.
  • Monitors and controls the activities of members of section to ensure the most effective utilization of resources.
  • Any other official duties as may be assigned by the principal engineer or senior engineer.

ACADEMIC QUALIFICATION AND EXPERIENCE:
  Form IV or VI.
  Holder of FTC or Diploma in Electrical Engineering.
  Fresh candidate from recognized collage or above.
2. MECHANICAL TECHNICIAN  (1 POST ) -KIBONDO
Reports To: Station Supervisor
 Reporting Office: Kibondo. 

POSITION OBJECTIVE:
Responsible   for efficient running of engine and his auxiliaries at the plant and at the point of maximum efficiency and in
PRINCIPAL ACCOUNTABILITIES:
  • Responsible for safe and economic of the plant during working shift.
  • To ensure company security, safety regulations are being observed all the time.
  • Responsible in preparing and managing all schedule preventive maintenance.
  • Responsible in managing plant and equipment safety system.
  • Responsible in making sure that discipline is always maintained at work places.
  • Write a report regard to plant operations on daily basis.
  • To supervise     artisans and ensure they are adhered to regulations.
  • Any other official duties as may be assigned by the station supervisor.
 
ACADEMIC QUALIFICATION AND EXPERIENCE:
  • Form IV or VI.
  • Holder of FTC or Diploma in Mechanical Engineering.
  • Fresh candidate from recognized collage or above.
REMUNERATION AND BENEFITS:
Competitive remuneration package shall be offered commensurate with skills and experience.
Details will be discussed at the interview; only people who fit the above criteria need apply.
HOW TO APPLY:
Applicants should send a written application giving full details of previous work life history, qualifications and include two work references. Application closing date: 1st November, 2014.
Applications should be marked “Private and confidential” and addressed to:
Regional Manager,
TANESCO Ltd,
P. O. Box 46 Kigoma, Tanzania.

TANGAZO LA KAZI (AFISA KAZI) - UTUMISHI.

MSc. SCHOLARSHIPS 2015.

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES - NELSON MANDELA UNIVERSITY.

JOB VACANCY - EWURA.

Wednesday, October 8, 2014

MAENEO YA KUFANYIA USAILI WA KADA ZA AUDITOR II & HUMAN REOURCES OFFICER II.

Wasailiwa wanoatarajia kufanya usaili wa Mchujo kwa kada za Auditor II na Human Resource Officer II utakaofanyika tarehe 11 Octoba 2014, wanataarifiwa kuwa muda na maeneo ya kufanyia usaili itakuwa kama ifuatavyo;
AUDITOR II – SAA MOJA KAMILI ASUBUHI
HUMAN RESOURCES OFFICER II – SAA TATU NA NUSU ASUBUHI
Wasailiwa wanakumbushwa kufika na vyeti halisi (original certificates)

KITUO

MAHALI KWA KUFANYIA USAILI

DAR ES SALAAM
CHUO KIKUU KISHIRIKI CHA UALIMU DAR ES SALAAM-(DUCE)
DODOMA
CHUO CHA MIPANGO DODOMA-(IRDP)
MTWARA
OFISI YA MKUU WA MKOA-MTWARA
MBEYA
CHUO CHA UHASIBU (TIA)-MBEYA
IRINGA
UKUMBI WA HOSPITALI YA MKOA IRINGA
ARUSHA
CHUO CHA UHASIBU (IAA)-ARUSHA
MWANZA
SHULE YA SEKONDARI MWANZA-(MWANZA SECONDARY)
TABORA
TANZANIA PUBLIC SERVICE COLLEGE-TABORA-(TPSC-TABORA)

Monday, October 6, 2014

CANDIDATES AWARDED SCHOLARSHIPS BY BANK OF TANZANIA - 2014/2015.

JOB VACANCIES - EAST AFRICAN COMMUNITY

CLICK HERE(BOFYA HAPA)

SPONSERED CANDIDATES 2014/2015 UNDER AMREF.

CANDIDATES SELECTED FOR BACHELOR’S DEGREE IN CIVIL AND IRRIGATION ENGINEERING - ARUSHA TECHNICAL COLLEGE.

New Admitted Students 2014/2015 - SUZA

CLICK HERE (BOFYA HAPA)

BRANCH CREDIT SUPERVISORS - TANZANIA POSTAL BANK.

LIST OF CONSOLIDATED ADMITTED STUDENTS AT SEBASTIAN KOLOWA MEMORIAL UNIVERSITY (SEKOMU) -2014/2015.

STUDENTS SELECTED FOR TANZANIA MOZAMBIQUE STUDENT EXCHANGE PROGRAMME(TAMOSE) -2014/2015


SELECTED CANDIDATES FOR UNDERGRADUATE 2014/2015 - MUHIMBILI UNIVERSITY.

SECOND SELECTION UNDERGRADUATE - SUA.

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI - TIC.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...