Monday, May 27, 2013

KINANA NA NAPE NAUYE KUWASHA MOTO MKOANI NJOMBE.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye wakisalimia baadhi ya viongozi, baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Iringa asubuhi hii (jana), kwa ajili ya kuanza ziara ya siku saba, mkoani Njombe. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa, Joyce Msambatavangu.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana  akiwa na viongozi wa mkoa wa Iringa. Nyuma ni Nape Nape naye akiwa na wenyeji.

Kinana akisaini kitabu cha wageni Uwanja wa Ndege wa Iringa baada ya kuwasili uwanjani hapo asubuhi hii (jana). Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa, Joyce Msavatavangu

Nape akisaini kitabu cha wageni

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...