Friday, May 17, 2013

MAJINA YA WAGOMBEA UDIWANI WA CHADEMA - KANDA YA KASKAZINI.


TAARIFA KWA UMMA
WAGOMBEA WA UDIWANI - KANDA YA KASKAZINI
Tarehe 15 Mei 2013, wagombea wafuatao wa CHADEMA walipitishwa na TUME YA UCHAGUZI kuwania nafasi za uwakilishi (UDIWANI) katika maeneo ya kata mbalimbali za kanda ya Kaskazini.
Wagombea hawa walipita katika mchujo wa uteuzi wa chama. Chama kina matarajio makubwa sana kuwa wananchi wa maeneo haya ya kata hizi watapata fursa nzuri ya kuwachagua wagombea wa CHADEMA ambao wana dhamira njema sana na ya kweli katika kuwatumikia.
Wagombea waliopitishwa pamoja na mikoa yao ni:

JINA LA MGOMBEA
KATA
JIMBO
MKOA
BI. YOSEPHA KOMBA
GENGE
MUHEZA
TANGA
BW. OMARI HATIBU SALIMU
TINGENI
MUHEZA
TANGA
BW. LAWRENCE SURUMBU TARA
BASHNET
BABATI VIJIJINI
MANYARA
BW. ERNEST JOROJIK
DONGOBESH
MBULU
MANYARA
ENG. JEREMIAH MPINGA
ELERAI
ARUSHA MJINI
ARUSHA
BW. RAYSON NGOWI
KIMANDOLU
ARUSHA MJINI
ARUSHA
BW. MALANCE KINABO
THEMI
ARUSHA MJINI
ARUSHA
BW. EMMANUEL KESSY
KALOLENI
ARUSHA MJINI
ARUSHA
BW. JAPHET SIRONGA LAIRUMBE
MAKUYUNI
MONDULI
ARUSHA
CHAMA kimejipanga kushiriki uchaguzi huu kikamilifu sana na katika maeneo yote kanda imeteua MAMENEJA WA KAMPENI ili kuhakikisha uratibu na utekelezaji wa kampeni kwa mfumo tuliouweka.
Imetolewa leo tarehe 16 Mei 2013.
Amani Golugwa
Katibu wa Kanda ya Kaskazini

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...