Monday, December 31, 2012

HERI YA MWAKA MPYA 2013.

MWENYEZI MUNGU MWENYE KUWEZA KILA JAMBO,AMEWEZA KUKUONGOZA VIZURI MPAKA SASA UNAPUMUA. Una kila sababu ya kumshukuru kwa kila jambo.Niwengi waliuanza huu mwaka wa 2012 lakini katikati safari zao zikakatishwa na uhai wao kuweza kuchukuliwa.

Jiulize kwa mwaka 2012 umefanya nini la kumtukuza mwenyezi mungu,umefanya nini la kuisaidia jamii.Ukishafanya tathimini hiyo jipe jibu na kuweza kujikosoa.

Wengi tunalalamika kuwa hatuna kitu,lakini kusaidia ni moyo sio utajiri.Mtu mwingine unaweza kumsaidia mawazo na akaweza kukwamuka kimaisha.

Nawaomba tupendane wote madamu tunaishi,sote ni ndugu.


DAR ES SALAAM YATOLEWA KAFARA KWENYE DIJITALI.

Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia Prof.Makame Mbarawa.


MKOA wa Dar es Salaam saa 6 kamili usiku wa leo unakuwa wa kwanza kuzimiwa mitambo ya analojia ya utangazaji wa televisheni kwa ajili ya kupokea mfumo mpya wa digitali.

Ikumbukwe kuwa hatua hiyo ya kuhama kutoka analojia kwenda digitali ni utekelezaji wa makubaliano ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC).

Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa katika hotuba yake ya jana kuashiria uzimaji wa mitambo ya analojia, alisema uzimaji kwa zamu unalenga kuepusha usumbufu kwa wananchi wa Tanzania.

Mbarawa alisema kuwa mchakato huo wa uzimaji wa mitambo utafanyika kama ifuatavyo: Januari 31, 2013 Dodoma na Tanga. Mkoani Mwanza Februari 28, 2013 na Kilimanjaro (Moshi) na Arusha Machi 31, 2013.

Mkoa wa saba kuingia kwenye mfumo wa digitali utakuwa Mbeya ambao mitambo itazimwa Aprili 30, 2013. Utaratibu wa kuzima mitambo ya analojia utakuwa kwa maeneo yenye matangazo ya digitali na kwa yasiyo na miundombinu ya digitali hayatazimwa.

Taarifa ya Waziri inaonesha kwamba miundombinu ya mitambo ya digitali imeenea katika mikoa minane pekee. Mabadiliko hayo yanahusu matangazo kwa njia ya utangazaji wa satelaiti, waya (cable) na redio.

Aidha imeelezwa kwamba watoa huduma za miundombinu ya digitali wamejipanga kusimika mitambo hiyo katika mikoa mingine minane ndani ya miezi minane ijayo.
Lakini kwa upande wa pili wa shilingi,baadhi ya wananchi wanalalamikia ving'amuzi vingine vunakatakata sana mawasiliano,lakini naona ni changamoto.


Friday, December 28, 2012

UZURI NA MAAJABU YA BUKOBA

Bukoba ni sehemu mojawapo ambayo kila mmoja anapenda akaishi kutokana na uzuri wake.Kihistoria,Bukoba ni sehemu miongoni mwa sehemu barani Afrika ambayo ilitawaliwa na Utawala wa Machifu (WAKAMA).Miongoni mwa machifu hao ni Mukama Lukamba ambaye alikuwa "Chief" wa Kyamutwara makao makuu yake ni Kabale,kata ya Karabagaine.

Nyumbani kwa Mukama Lukamba.



Kwa Wakama  hawa kulikuwa na mahakama (GOMBOLOLA) ambazo zilikuwa zinatumika kuhukumu waarifu wote waliokuwa wanaletwa mahakamani hapo.

Chief Lwaijumba local court
Mahakama ya Mukama Lwaijumba ambapo waarifu walikuwa wanahukumiwa.
Hata hivyo baada ya hukumu hiyo wote waliokuwa wanaadhibiwa kwa kunyongwa sehemu inayoitwa Mlima wa Lyankumbi ulioko Itahwa walipokuwa wanaachiwa na kuporomokwa hadi bondeni.
Mlima Lyankumbi ampako waarifu walikuwa wanaanyongwa.

Pamoja ni hayo,Kabale kuna pango ambalo lilitumika kwa wananchi kujificha wakati wa vita ya Kagera.Pango hilo lina urefu usiopungua kilometa 3.Pango hili la maajabu lipo katika mlima Rwamrumba.
Picha zifuatazo ni picha zinazoonesha pango la maajabu.




Mnamo miaka ya 1977 hadi 1979 kulikuwa na vita ya Kagera,vita hivi vilifanyika hasa maeneo ya Mutukura,Bunazi na Kyaka.Miongozi mwa uharibifu uliofanyika wakati wa vita ni Kuunguzwa kwa kiwanda cha sukari cha Kagera,Kuunguzwa kwa makanisa pamoja na mashule.
Picha zifuatazo ni baadhi tu ya picha zinazoonesha uharibifu uliofanywa na Nduli Iddi Amini -DADA kwa kuunguza kanisa la Kyaka.


Kanisa la Kyaka lililoungua.







Friday, December 21, 2012

CHADEMA WAZIDI KUCHANJA MBUGA,GODBLESS LEMA ASHINDA RUFAA.



  Mbunge wa Arusha mjini Godbless lema ameshinda rufaa yake ya ubunge chini ya wakili wake Vitalisi Kimomogoro,rufaa hiyo iliyokuwa inasikilizwa mahakama kuu ya rufaa jijini Dar es salaam.

Ikumbukwe kuwa Mheshimiwa Lema alisimamishwa ubunge wake kupitia kesi iliyofunguliwa kwa madai kwamba wakati wa kampeni zake zilizoendeshwa wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 alitoa lugha isisiyotakiwa kwa mgombea wa CCM.

Thursday, December 20, 2012

UHABA WA MAJI MOROGORO
Bomba kubwa lenye kipenyo cha 16" sawa na 400mm limepasuka eneo la Msamvu stendi ya Dodoma karibu na kituo cha kusambaza umeme.Ingawa juhudi za kurejesha huduma ya maji kwa wakazi wa manispaa ya Morogoro zikiwa zinaendelea lakini changamoto nikwamba bomba hilo limekatiza barabara kuu ya kuelekea Dodoma ambayo ni ya lami,hivyo namna ya kuchimba inakuwa vigumu.


Akiongea kutokea eneo la tukio,kaimu Mhandisi wa usambazaji na matengenezo Bw.William Mbilizi alisema kuwa matengenezo hayo yanaweza kukamilika ndani ya siku 2.





Wednesday, December 12, 2012

SHORT COURSE ON FIRST AID.
INDUSTRIAL FIRST AID COURSE
OSHA has organized the above mentioned course for all nominate first aiders at workplaces or
any one in need of comprehensive introduction to first aid.
Objective of the course: To equip participants with adequate knowledge and practical skills in
dealing with health emergencies at workplaces.
Participants will be able to minimize the outcome of workplace accidents or exposures, along
with enhancing their workplace compliance to First Aid legal requirement.
Course contents:
 The First Aid provision as described in OHS act 2003.
 Contents/ uses of first aid kit.
 Medical emergencies(stroke, asthmatic and diabetic shock, epilepsy)
 Accidents and incidents.
 Treatment of an unconscious causality (CPR).
 Foreign bodies and eye injuries.
 Poisoning and allergic reactions.
 Burns and scalds.
 Fractures and dislocation.
 FIRST AID PRACTICAL.
The course will be conducted for three days from 18th – 20th December, 2012 at OSHA
headquarters office Training lounge.
Course fee is Tsh.200, 000/= per participants, this is only for tuition and refreshment during
course. NOTE: Breakfast and lunch will not be provided.
Training methodology: Instruction lectures, plenary session and practical demonstrations.
For more information and booking please contact the following;
Chief Executive Officer, P. O Box 519, Tel +255 22 2760548/2760579
Shaaban Mkindi – 0713 826849, Naanjela Msangi – 0715 424 020
Jamani tuchangamkie course hii.

Monday, December 3, 2012

MUHAS CONFERENCE



The Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) announces its first scientific conference that will be organized with support from Sida and other development partners. We welcome all researchers, local and international, working in various areas of health to share their research findings with other stake holders in this conference.

The Conference will be held at Kunduchi Beach Hotel, Dar es Salaam on 2nd – 4th May, 2013.
Conference Theme: Health Research Towards Poverty Alleviation.
Under this theme, there are four sub-themes:
 A. Translating Health Research Findings into Policy and Practices
i. Best practices in prevention of communicable diseases (primary, secondary and tertiary)
ii. Best practices in prevention of non-communicable diseases (primary secondary and tertiary)
iii. Best practices from health systems and policy study findings (quality of health care: affordability, equity and accessibility)
iv. Innovations in health interventions
v. Complementary and Alternative approaches in healing practices (traditional medicine and nutraceuticals, probiotics)
 B. Progress in addressing Health Related Millennium Development Goals
i. MD Goal 4: Child morbidity and mortality
ii. MD Goal 5:  Maternal Health
iii. MD Goal 6:  HIV/AIDS
iv. MD Goal 7:  Environmental sustainability
v. Complementary and Alternative approaches in healing practices (traditional medicine and nutraceuticals, probiotics)
 C. Emerging Major Health Challenges
i. Lifestyle related diseases
ii. Various forms of violence and health outcomes.
iii. Injuries and Accidents
iv. Vaccines for preventable diseases (new development, coverage, preparedness, barriers and adverse reactions)
v. Conflicts and challenges
 D. Responding to the Crisis on Human Resource for Health
i. Training (pre and post service) to meet health needs
ii. Opportunities and challenges  in the allocation of human resource  for health
iii. Task shifting and task sharing initiatives; case studies and best practices and challenges

Note: In addition to vibrant scientific presentations, there will be exhibitions on new and innovative products, devices and equipment for diagnosis, management and prevention of diseases.

 Conference Secretariat
Directorate of Continuing Education and Professional Development
P.O.BOX 65001
Dar es Salaam
Tel: +255 22 2152431.
Committee Chairs, Steering Committee
Dr. G. Kwesigabo
Organizing Committee
Prof. S. Massawe.
Scientific Committee
Dr. D. Mloka

Thursday, November 29, 2012

JOB VACANCIES DODOMA URBAN WATER AND SEWERAGE AUTHORITY (DUWASA)



DODOMA URBAN WATERSUPPLY AND   SANITATION AUTHORITY
(DUWASA)           

TEL:  026 – 2324245             Website: www.duwasa.or.tz                       P.O. BOX 431

FAX:  026 - 2320060               E-mail:duwasatz@yahoo.com                                DODOMA     

JOB VACANCIES AT DUWASA - DODOMA

 

Dodoma Urban Water Supply and Sanitation Authority (DUWASA) was established under section 3(I) of Cap. 272 of 1997 as repealed by section 60 of Water Supply and Sanitation Act No. 12 of 2009. DUWASA is charged with the overall responsibility of operations and management of water supply and sanitation services in Dodoma urban within the Municipality.

Applications are invited from suitably qualified, dynamic, experienced and performance driven Tanzanians male and female, to fill in excellent carrier opportunities:-

1.0       IT TECHNICIAN
1.1              Required Qualifications (Knowledge, Skills and Abilities)
Form IV/VI with Advanced Diploma in Computer Science or Information Technology (IT) from a recognized institution with three (3) years working experience in a similar position from a reputable organization. Possession of Microsoft Certified Profession (MCP) or Microsoft Certified Systems Engineer (MCSE) certificates will be an added advantage

1.2                    Duties and Responsibilities
i)                    Resolve network communications problems to ensure user’s access to the Authority networks.
ii)                  Making analysis on the data and trend of monthly customer water consumption in all zones to detect any abnormal trend and advising on the improvements to be taken.
iii)                Analyzing the daily meter reading data to determine the correctness of meter readings from all water supply zones.
iv)                Keeping accurately the data related to monthly meter reading records.
v)                  Liaising with Billing and Data Officer in ensuring monthly water consumption data are timely compiled and that bills are produced and dispatched timely.
vi)                Ensuring that data verifications regarding customer meter reading is done on the daily basis during the meter reading days.
vii)              Performing any other duties as may be assigned by the Operations Engineer.

2.0   OPERATIONS ENGINEER – II
2.1 Required Qualifications (Knowledge, Skills and Abilities)
Holder of a Degree/ Higher Diploma in Civil/Sanitary Engineering with at least one (1) year working experience as an Engineer in the operations and maintenance of water works and registered with Engineers’ Registration Board (ERB) of Tanzania.
 
2.2 Duties and Responsibilities
                                i.            Analyse and follow up of causes for both technical and commercial water losses and make necessary rectifications which are measurable and make system improvement to ensure the total amount of water loss does not exceed an acceptable standard of 20% of total water produced at any time.
                              ii.            Promptly making maintenance and repair of all pipes bursts and water leaks as they occur by ensuring that, any reported leak or pipe burst is attended within 30minutes.
                            iii.            Ensuring availability of adequate water quantity in the reservoirs for both emergences and normal supply.
                            iv.            Making critical analysis and assessment of records/data of amount of water supplied to each zone through bulk meters versus corresponding amount of water billed from individual customer water meters in each zone; establish amount of None Revenue Water - zonal wise and take any necessary quantified measures/actions to ensure amount of NRW from each zone does not exceed 20%.
                              v.            Performing any other duties as may be assigned by the Head of Operations Engineering Section.

3.0  AUTHORITY’S  ACCOUNTANT (One post) - Re advertised
3.1  Required Qualifications:
Holder of a Bachelor degree of Commerce in Accounting or equivalent degree qualifications with minimum of three (3) years postgraduate accounting experience in a reputable organization. CPA (T) or equivalent professional qualification i.e. ACCA, ACA, CIMA is a must.

3.2 Summarised Duties and Responsibilities:
i)        Maintain and coordinate the implementation of DUWASA Accounting System to ensure compliance with International Financial Reporting Standards.
ii)      Budgetary control and reporting for recurrent and development/project funds.
iii)    Perform monthly analysis and review of budgets and expenditures for internal revenue, contracts, and grants.
iv)    Maintenance of Fixed Assets Register and review and updating of inventory movements.
v)      Prepare Quarterly and Year end financial reports.
vi)    Interact with internal and external auditors in successful completion of audits.
vii)  Perform any other duties as may be assigned by Finance Manager.


4.0 TERMS OF EMPLOYMENT FOR THE POSTS
Permanent and Pensionable.

5.0  AGE LIMIT FOR THE APPLICANTS
20 – 40 years of age.

6.0 REMUNARATIONS:
The posts carry attractive remunerations package subject to work professional experience and qualifications

7.0    MODE OF APPLICATION
Letter of application accompanied by a detailed CV, Photocopies of relevant certificates; names and addresses of three referees; day contact telephone numbers and postal address should reach the under mentioned address before or on 5th December, 2012:

The Managing Director,
Dodoma Urban Water Supply and Sanitation Authority,
P.O. Box 431,
Tel: 026 – 2324245. Fax: 026 – 2320060,
DODOMA
E-mail:duwasatz@yahoo.com


    NB: ONLY SHORTLISTED CANDIDATES WILL BE CONTACTED FOR   INTERVIEW; AND THOSE WHO WILL NOT HEAR FROM US SHOULD CONSIDER THEMSELVES UNSUCCESFUL CANDIDATES.


·         THIS ADVERT IS ALSO AVAILABLE AT DUWASA WEBSITE: www.duwasa.or.tz.

“Tanzanian Women are highly encouraged to apply”
MATUMIZI SAHIHI YA RASILIMALI.

Katika harakati za kuhifadhi mazingira tunatakiwa kutumia kanuni ya 3R (Reduce,Reuse and Recycle).Hii imeonekana kutumika ipasavyo katika Manispaa ya Dodoma upande wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DUWASA).

Kuna gari ambalo lilinunuliwa mwaka 1954 lakini mpaka sasa linafanya kazi katika kituo cha kuzalisha maji cha Mzakwe ambacho ndo chanzo kikuu cha maji kwa mji wa Dodoma.
Nawapongeza sana Mamlaka ya majisafi na usafi wa Mazingira Dododma kwa kuweza kulitunza gari hili na kulifanya kumbukumbu.
Mamlaka zingine nchini ziige mfano wa Mamlaka ya majisafi Dododma ili kuweza kutunza rasilimali tulizonazo.

Wednesday, November 28, 2012

UZURI WA MBEGA UMEMPONZA,ANAWINDWA KWA UDI NA UVUMBA

MBEGA (COLOBUS MONKEY).
 Mbega ni kima wa nusufamilia Colobinae katika familia Cercopithecidae. Wanatokea Afrika na Asia. Spishi nyingi huishi mitini lakini spishi nyingine huishi savana zenye miti na hata mijini. Vidole gumba vya spishi za Afrika vimekuwa vigutu pengine ili kurahisisha kwenda katika miti. Mbega hula majani, maua na matunda, pengine wadudu na wanyama wadogo.
Bega wanapatikana hata katika safu za milima ya uluguru, lakini wanauwawa sana na wakazi wanaoishi karibu na safu za milima hii.



Domeni:
Himaya:
Animalia (Wanyama)
Faila:
Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli:
Mamalia (wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda:
Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)
Nusuoda:
Haplorrhini (Wanyama wanaofanana zaidi na kima)
Oda ya chini:
Simiiformes (Wanyama kama kima)
Oda ndogo:
Catarrhini (Kima wa Dunia ya Kale)
Familia ya juu:
Familia:
Cercopithecidae (Wanyama walio na mnasaba na kima)
Nusufamilia:
Colobinae (Mbega)
Jenasi:
Nasalis E. Geoffroy, 1812
Piliocolobus Rochebrune, 1877
Presbytis Eschscholtz, 1821
Procolobus Rochebrune, 1877
Pygathrix E. Geoffroy, 1812
Rhinopithecus Milne-Edwards, 1872
Semnopithecus Desmarest, 1822
Simias Miller, 1903
Trachypithecus Reichenbach, 1862








Kuna spishi nyingi za Mbega na hapa ni baadhi ya spishi hizo:-

Spishi za Afrika

Spishi za Asia

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...