Saturday, April 13, 2013

YANGA YAIVUA RASMI SIMBA UBINGWA WA LIGI KUU YA VODACOM NA KUICHAPA OLJORO 3

 Katika mchezo wa ligi kuu ya vodacom kati ya Yanga na JKT Oljoro uliomalizika muda si mrefu Yanga imeshinda kwa jumla ya magoli 3 na oljoro hawakupata kitu.
Goli la kwanza la lilifungwa dakika ya 5 na nahodha Nurdin Kanavaro,goli la pili limefungwa na Simon Msuva dakika ya 19 na la tatu limefungwa na Hamis Kiiza dakika ya 34.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...