Saturday, April 27, 2013

DIAMOND AWASILI SALAMA UINGEREZA KWA AJILI YA SHOO.

Baada ya Msanii Nasibu maarufu Diamond kuwasili salama huko Uingereza tayari kwa shoo anayotarajia kuanza kuionyesha leo ameandika maneno yafuatayo kwenye mtandao wake wa kijamii:-
"Napenda kumshukuru mungu kwa siku ya leo....... Jumamosi mwanana.....nikiwa mbali na uso wa nyumbani, nikiwa ugenini kutafuta riziki......Shukrani za pekee pia kwenu mashabiki zangu wa dhati....mahana bila nyinyi si Mimi.....Nashukuru mungu kwa ulinzi wake... nipo salama salimini kwenye jiji la Malkia elizabeth....nashukuru uongozi mzima kwa  mapkezi mazuri na huduma nzuri mimi na dancers wngu.......!!

Nashukuru mungu kwa brekfast mwanana niliyopata na kunifanya nijiskie mwenye hari zaidi...kabla ya kuanza kukatiza mitaa ya jiji ili leye watu zaidi ya maelfu ya wanachi wanaotokea nchini mbalimbali duniani....!!"


Na hizi ndo picha mbali mbali za Diamond akiwa Ughaibuni hii leo.


Picha kwa hisani ya Mtandao wa kijamii wa Diamond.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...