Sunday, April 21, 2013

Breaking news: HUDUMA ZA USAFIRI WA TRENI DAR KUANZA JUMATATU APRILI 22.

 Huduma za usafiri wa treni katikati ya jiji la dar es salaam zinatarajiwa kuanza tena Jumatatu Aprili 22 kufuatia kukamilika kwa Ukarabati wa reli katika eneo lililokuwa limeharibiwa na mvua zilizonyesha hivi karibuni na kwamba hakuna badiliko la nauli.
Taarifa kamili tutawaletea baadae.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...