Wednesday, April 24, 2013

CHADEMA WAFUNIKA IRINGA,WAFANYA MKUTANO MKUBWA UKIONGOZWA NA DR.SLAA


Dr.Slaa akiwahutubia wakazi wa Iringa.
Jana CHADEMA walifanya mkutano mkubwa katika Manispaa ya Iringa kwa kutekeleza ahadi ya wabunge wa chama hicho waliyoitoa wakati wakiwahutubia wakazi wa Jiji la Mwanza kuwa watatembelea majimbo kadhaa ili kuwaeleza wananchi nini kilichotokea bungeni mpaka wabunge 6 wa chama hicho wakasimamishwa kuhudhulia vikao 5 vya Bunge.
Hapa ni picha mbali mbali kuhusiana na ziara hiyo ya Mkoani Iringa.
Msafara ukielekea Iringa.

Msafara ukiwa Mkoani Iringa.

Sugu akiwahutubia wakazi wa Iringa.
Dr.Slaa akiwa na Mbunge wa Ubungo Mh.John Mnyika.




No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...