Thursday, April 18, 2013

ZITTO KABWE - HERI TAIFA STARS KULIKO BUNGE NA MIPASHO YA BUNGE

 Baada ya kuteuliwa na serikali kuwa mjumbe wa kamati ya kuisaidia timu ya Taifa ya mpira wa miguu Taifa Stars,Mh.Zitto Zuberi Kabwe ametoa maneno yenye kutia moyo juu ya kuiwezesha hiyo timu kufuzu.na hizi ndo tweets zake masaa matatu yaliyopita kwa kuliponda bunge kuwa ni la mipasho:-

"Sasa kampeni ya kwenda Brazil 2014. TZBrazil2014 must trend au mnasemaje? si ni mantiki zaidi kuuliko Bunge na mipasho ya Bunge? Lets go"

Na kuhusu kuiwezesha timu Zitto kasema:-
 "tutawawezesha mpaka mtashangaa"

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...