Tuesday, April 23, 2013

DIAMOND KUFANYA SHOO KUBWA UINGEREZA...!!

Diamond anatarajia kufanya shoo kubwa nchini Uingereza kuanzia tarehe 27 mwezi 4.Hii ni kwa mujibu wa habari alizozitoa Diamond katika mtandao wake wa kijamii na Diamondi ameandika hivi:-
 

"Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru mwenyezi mungu kwa wingi wa rehema zake na mapenzi yake kwangu mpaka nuda na saa hii nipo hapa nilipo.....
Napenda kuchukua nafasi hii kuwataharifu mashabiki zangu wote...Hususani Mashabiki zangu wa Nchini Uingereza kuwa bado siku 6 tu toto la kimanyema.....kutoka Tandale .Ntakuwa nchini Uingereza Nikianza na show ya tarehe 27 mwezi wa 4....
Ntakuwa na Silaha zangu mbili za maangamizi.Nikizungumzia Dancers wangu wawili machachari na wazawa kutoka wasafi...Dumi Utamu na Mose Iyobo....!!
Nakuja kuweka Historia Mpya Uingereza....Ntahakikisha kuwa naididimiza ardhi ya Malkia kwa Michezo ya kuringa ringa na Mashetani ya Kimanyema yatakapopanda....Ts Gona Be Crayz Usikose....Asikudanganye mtu tarehe London ntakuwepo
tarehe 27 april na reading ntakuwepo Tarehe 5may.....!! 

Thats official me....
Njoo tulewe kwa pamoja kisha kesho muone ntampeleka nani kwa Bi Sandrah Nchini Tanzania.....Hii si yakukosa....!!

WASAAAAAAFIIIIIIII"


 Kila la heri Diamond, keep it up!!!!!

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...