Thursday, April 11, 2013

AZAM MWENDO MDUNDO,YAWANYUKA AFRICAN LION 3-1


Ligi kuu ya Vodacom imeendelea tena leo kwa mechi moja katika uwanja wa Azam Complex kati ya Azam na african Lion na mpaka dakika 90 zinakamilika Azam 3- Af. Lion 1.
Azam anazidi kumsogelea kinala wa ligi Yanga.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...