Showing posts with label MICHEZO. Show all posts
Showing posts with label MICHEZO. Show all posts

Thursday, February 6, 2014

MSIMAMO WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA BAADA YA MICHEZO YA JANA.

Vodacom Premier League VPL 2013/2014
Rank
Teams
PlayedWinsDrawLostGDGoal scorePoints
1Azam FC161060192936
2Yanga SC161051223435
3Simba SC16871183231
4Mbeya City1687192131
5Mtibwa Sugar1657412022
6Kagera Sugar1656501521
7Coastal Union16310331119
8Ruvu Shooting1547401619
9JKT Ruvu15609-61318
10Ashanti UTD16349-141413
11Rhino Rangers16268-91112
12JKT Oljoro16268-141212
13Prisons FC14176-10610
14Mgambo Shooting162410-19710

Wednesday, February 5, 2014

Azam FC kucheza mechi za kimataifa Azam Complex Chamazi.


Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF leo tarehe 31 Januari 2014 limeupa kibali cha kuchezea mashindanoya kimataifa yanayoandaliwa na CAF uwanja wa Azam Complex Chamazi na kuufanya uwanja wa kwanzaunaomilikiwa na klabu Afrika Mashariki  kuruhusiwa kuandaa (ku-hostmashindano makubwa ya vilabu

Thursday, August 15, 2013

TANGAZO LA UCHAGUZI TFF

UCHAGUZI WA VIONGOZI WA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA
(TFF)
14/08/2013

1.                   Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inawatangazia wananchi wote kuwa Uchaguzi wa viongozi wa TFF utafanyika tarehe 20/10/2013 jijini Dar es salaam. Wale wote wanaopenda kuwania nafasi za uongozi wa TFF wanataarifiwa  kuwa fomu za maombi ya uongozi wa TFF zitatolewa kuanzia tarehe 16 Agosti 2013 hadi tarehe  20 Agosti 2013 katika Ofisi ya Katibu Mkuu wa TFF (Idara ya  Fedha), kuanzia saa 03:00 asubuhi hadi saa 10:00 Alasiri. Mwisho wa kurudisha Fomu ni saa 10:00 Alasiri tarehe 20 Agosti 2013.

2.                   Nafasi zinazotangazwa kugombewa ni:

(i)                   Rais wa TFF.
(ii)                 Makamu wa Rais wa TFF.
(iii)                Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF, nafasi kumi na tatu (13).

3.                   Mtu yeyote  anayeomba nafasi ya uongozi katika TFF lazima atimize masharti yafuatayo:

(i)                   Awe Raia wa Tanzania.
(ii)                 Awe na kiwango cha elimu kisichopungua Kidato cha Nne na cheti cha kuhitimu Elimu ya Sekondari.
(iii)                Awe na uzoefu wa uendeshaji wa Mpira wa Miguu uliothibitishwa wa angalau miaka mitano (5).
(iv)               Asiwe na hatia yoyote ya kosa la jinai na kuhukumiwa kifungo bila ya uchaguzi wa faini.
(v)                 Awe na umri wa angalau miaka 25.
(vi)               Awe amewahi kuwa ama mchezaji Mpira wa Miguu, Kocha, Mwamuzi au kushiriki katika uendeshaji wa Mpira wa Miguu katika ngazi ya Taifa, Mkoa, Ligi Kuu au Ligi Daraja la Kwanza.
(vii)              Awe mwadilifu, mwaminifu na mwenye uwezo wa kutekeleza majukumu, wajibu na malengo ya TFF kwa weledi.
(viii)            Mtu anayegombea nafasi ya Rais na Makamu wa Rais wa TFF lazima awe na kiwango cha Elimu kisichopungua Shahada ya Chuo Kikuu na awe na uwezo na haiba ya kuwakilisha TFF ndani na nje ya nchi.

4.                   Ada za Fomu za maombi ya uongozi ni hizi zifuatazo:

(i)                   Rais wa TFF; Shillingi Laki Tano (Tshs. 500,000/=).
(ii)                 Makamu wa Rais wa TFF; Shillingi Laki Tatu (Tshs. 300,000/=).
(iii)                Wajumbe wa Kamati ya Utendaji ya TFF; Shillingi Laki Mbili (Tshs. 200,000/=).
5.                   Kwa wale ambao walilipia fomu za kugombea katika mchakato uliofutwa na ambao wanakusudia kugombea nafasi zile zile walizozilipia, hawatalipia tena ada ya fomu husika bali watatakiwa kuambatanisha risiti za malipo wakati wa kurudisha fomu za maombi hayo ili kuthibitisha malipo yao.

Friday, May 10, 2013

HUU NDO WASIFU WA DAVID WILLIAM MOYES - KOCHA MPYA WA MAN UNITED.

David W.Moyes kocha mpya wa Man United.
Uongozi wa Old Trafford umetangaza rasmi na kuthibitisha kuwa David Moyes atakuwa meneja mpya wa timu hiyo kuchukua nafasi ya Sir Alex Ferguson atakayestaafu mwishoni mwa msimu huu.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka Old Trafford mchana wa leo, David Moyes amepewa mkataba wa miaka sita wa kuifundisha Manchester United kuanzia msimu ujao.
Na hii hapa chini ni wasifu wa kocha huyo mpya wa Mashetani wekundu:-

Personal information
Full name David William Moyes[1]
Date of birth 25 April 1963 (age 50)
Place of birth Bearsden, East Dunbartonshire, Scotland
Height 1.85 m (6 ft 1 in)
Playing position Centre back
Club information
Current club Everton (manager)
Youth career
1978 ÍBV Vestmannaeyjar[2]
1978–1980 Drumchapel Amateurs
Senior career*
Years Team Apps (Gls)
1980–1983 Celtic 24 (0)
1983–1985 Cambridge United 79 (1)
1985–1987 Bristol City 83 (6)
1987–1990 Shrewsbury Town 96 (11)
1990–1993 Dunfermline Athletic 105 (13)
1993 Hamilton Academical 5 (0)
1993–1999 Preston North End 143 (15)
Total
535 (46)
Teams managed
1998–2002 Preston North End
2002–2013 Everton
2013– Manchester United
* Senior club appearances and goals counted for the domestic league only.
† Appearances (Goals).

------------------
 References.

  1. ^ Hugman, Barry J., ed. (2005). The PFA Premier & Football League Players' Records 1946–2005. Queen Anne Press. p. 443. ISBN 1-85291-665-6.
  2. ^ http://www.eyjafrettir.is/frettir/2013/05/08/tyrari_ad_taka_vid_united

Friday, May 3, 2013

MAAGIZO YA FIFA KWA TFF KUHUSU UCHAGUZI MKUU.

Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limelitaka Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kuanza upya mchakato wa uchaguzi baada ya kubaini kasoro iliyotokana na ukosefu wa kutokuwepo vyombo vya kushughulikia ukiukwaji wa maadili.
FIFA ambayo ilituma ujumbe wake katikati ya mwezi uliopita kufanya utafiti kuhusu mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa TFF ambao ulisimamishwa baada ya baadhi ya wagombea kulalamika, imetaka uchaguzi ufanyike kabla ya tarehe 30 Oktoba 2013, lakini ukitanguliwa na mabadiliko ya katiba ambayo yatahusisha uundwaji wa vyombo vya kushughulikia ukiukwaji wa maadili.
Raiswa TFF, Leodegar Tenga aliwaambia waandishi wa habari kwenye ukumbi wa mikutano wa shirikisho hilo kuwa suala la Tanzania lilijadiliwa kwenye kikao cha Kamati ya Dharura ya FIFA kilichofanyika tarehe 28 Aprili 2013 na maamuzi yake kutumwa juzi kwa barua iliyosainiwa na KatibuMkuuwa FIFA, Jerome Valcke.

Saturday, April 27, 2013

YANGA BAADA YA KUWA BINGWA WA LIGI KUU YAENDELEA NA MAZOEZI YA "GYM" KUIKABLI COASTAL UNION.

Pamoja na jana kutangazwa mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom msimu wa 2012/2013, kikosi cha timu ya Young Africans leo kimeendelea na mazoezi ya viungo na kujenga misuli (GYM) katika kituo cha mazoezi kilichopo jengo la Quality Cetntre kujiandaa na mchezo dhidi ya Coastal Union siku ya jumatano katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Young Africans ambayo jana imetangazwa rasmi kuwa Mabingwa wapya wa Ligi Kuu ya Vodacom 2012/2013 baada ya timu za Coastal Union na Azam FC kutoka sare ya bao 1-1, imeendelea kujifua kuhakikisha inamalizia mzunguko wa pili wa VPL kwa ushindi kama ilivyofanya tangu kuanza duru la pili.
Azam FC iliyokua na ndoto za kuweza kufikia pointi 56 za Yanga, ilikua ikiombea yenyewe kushinda michezo yake yote mitatu huku iikiombea Yanga kupoteza michezo yake miwili iliyosalia hali ambayo ilikwenda kinyume hapo jana kwa wauza mikate kupata sare ya 1-1 dhidi ya Coastal Union na kuifanya Yanga itangazwe mabingwa wapya wa VPL kwa kuwa na ponti 56 ponti 8 mbele ya Azam yenye pointi 48. 
Huu unakua ni Ubingwa wa 24 kwa Yanga tangu kuanzishwa kwa Ligi Kuu Tanzania bara rekodi ambayo hakuna timu yoyote inayokaribia kufuatia watani wa jadi Simba SC kuwa wametwaa ubingwa huo mara 18 tu.
Rekodi ya Ubingwa wa Yanga :1968, 1969, 1970, 1971, 1972, 1974, 1981, 1983, 1985, 1987, 1989, 1991, 1992,1993, 1996, 1997, 1998, 2002, 2005, 2006, 2007-2008, 2008-2009, 2010-2011, 2012-2013 
Baada ya kufanya mazoezi katika uwanja wa shule ya sekondari Loyola kwa siku tatu mfululizo kuanzia siku ya jumatano, jana wachezaji waliingia kambini katika hosteli za klabu zilizopo makao makuu mitaa ya Twiga/Jangwani kujiandaa na mchezo wa jumatano.
Kocha Mkuu wa Yanga mholanzi Ernie Brandts amekiongoza kikosi cha wachezaji 26 kufanya mazoezi ya gym leo katika kituo cha Quality Centre ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya mchezo unaofuata dhidi ya timu ya Coastal Union siku ya mei mosi jumatano  katika uwanja wa Taifa jijin Dar es salaam.
Yanga imebakisha michezo miwili (Costal Union 01.05.2013) na (Simba SC 18.05.2013) kabla ya kumalizika kwa Ligi Kuu ya Vodaom huku ikiwa tayari imeshatwaa Ubingwa mapema kabla ya kumalizika kwa Ligi Kuu ya Vodacom. 
Uongozi wa klabu ya Yanga unawaomba wanachama, wapenzi na washabiki wa timu ya Yanga kujitokeza kwa wingi siku ya jumatano (mei mosi) katika dimba la uwanja wa Taifa ili kuja kuwashangilia vijana wakiendeleza furaha ya kutwaa Ubingwa wa VPL msimu huu.
DAIMA MBELE, NYUMA MWIKO (DMNM)
EVER FORWARD, BACKWARD NEVER (EFBN) 

Chanzo: Mtandao wa kijamii wa Timu ya Yanga.

Friday, April 26, 2013

BAADA YA AZAM KUBANWA MBAVU,HUU NDO MSIMAMO WA LIGI KUU YA VODACOM

 
Vodacom Premier League Ligi Kuu Ya Vodacom Msimu 2012/2013
Rank Teams Played Wins Draw Lost GD Points
1 Young Africans 24 17 5 2 31 56
2 Azam FC 24 14 6 4 22 48
3 Kagera Sugar 23 11 7 5 8 40
4 Simba SC 22 9 9 4 11 36
5 Mtibwa Sugar 24 9 9 6 3 36
6 Coastal Union 24 8 10 6 3 34
7 Ruvu Shooting 22 8 6 8 0 30
8 JKT Oljoro 24 7 7 10 -5 28
9 Prisons FC 24 6 8 10 -7 26
10 JKT Ruvu 24 7 5 12 -17 26
11 Mgambo Shooting 23 7 4 12 -7 25
12 Toto African 25 4 10 11 -12 22
13 Police M 23 3 10 10 -10 19
14 African Lyon 24 5 4 15 -20 19

Thursday, April 25, 2013

SHEREHE ZA MUUNGANO ZAAHIRISHA MCHEZO WA SIMBA vs RUVU SHOOTING

TANGAZO
Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Ruvu Shooting na Simba iliyokuwa ichezwe leo (Aprili 25 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam sasa itafanyika Mei 5 mwaka huu kwenye uwanja huo huo.
Mabadiliko hayo yametokana na Serikali kuutumia uwanja kwa ajili ya maandalizi ya sherehe za Muungano ambazo kitaifa zitafanyika kesho (Aprili 26 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linawaomba radhi washabiki kwa usumbufu uliojitokeza kutokana na mabadiliko hayo na ghafla. Ratiba ya mechi nyingine za VPL zinabaki kama zilivyo.

Ligi hiyo inaendelea kesho (Aprili 26 mwaka huu) kwa mechi kati ya Coastal Union na Azam itakayochezwa Uwanja wa Mkwakwani jijini Tanga wakati Jumapili (Aprili 28 mwaka huu) itakuwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ni Simba dhidi ya Polisi Morogoro.

Boniface Wambura
Ofisa Habari
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)

SERGIO RAMOSI ACHEZA MCHEZO WA 350 AKIWA NA REAL MADRID


Sargio Ramos akiwa anakabiliana na mchezaji wa Borrusia Dortmund katika mchezo wa jana Madrid
Beki wa kutumainiwa wa Real Madris Sergio Ramos akicheza mchezo wa jana akiwa na timu yake wakati wanacheza na Borrusia Dortimund amefikisha michezo 350 akiwa na Real madrid.
Jana akiwa mchezoni katika mchezo wa jana kama nahodha wa Real Madrid,ameandika historia hiyo katika maisha yake ya kisoka na takwimu zifuatazo zinafafanua zaidi:-
SERGIO RAMOS’ 350 MATCHES
Season League European Cup Copa del Rey Spanish Super Cup TOTAL
2005/06  33  7  6 -  46
2006/07  33  6  3 -  42
2007/08  33  7  3 2  45
2008/09  32  8  0 2  42
2009/10  33  7  0 -  40
2010/11  31  8  7 -  46
2011/12  34 11  4 2  51
2012/13  26  8  2 2  38
TOTAL 255 62 25 8 350

Wednesday, April 24, 2013

REAL MADRIL YATOTA UJERUMANI,YAPIGWA 4-1 NA BORRUSIA BOTMUND

 Timu ya Real Madrid  ya Hispania ikicheza katika mchezo wa nusu fainali ya pili imekumbana na dhahama ya kufungwa na Borrusia Dotmund goli 4 kwa 1. Matokeo haya yanatofautiana kidogo na yale waliyopata wahasimu wao wakuu Barcelona iliyofungwa 4-0 jana na Bayern Munchin.
Kwa matokeo haya,ili Real Madrid aweze kufuzu kucheza fainali katika mchezo wa marudiano utakaochezwa Hispania wanatakiwa washinde 3-0.

Timeline

soundEnable
Borussia Dortmund
Borussia Dortmund4 - 1Real Madrid
  • R. Lewandowski 8
  • R. Lewandowski 50
  • R. Lewandowski 55
  • R. Lewandowski 67 (P (penalty))
  • C. Ronaldo 43
Real Madrid
Borussia DortmundEvents
  • Goal: Robert Lewandowski 8min (minute symbol)
  • Goal: Robert Lewandowski 50min (minute symbol)
  • Goal: Robert Lewandowski 55min (minute symbol)
  • Penalty: Robert Lewandowski 67min (minute symbol)
  • Substitution: Sebastian Kehl (In) / Jakub Blaszczykowski (Out) 82min (minute symbol)
  • Substitution: Kevin Großkreutz (In) / Lukasz Piszczek (Out) 83min (minute symbol)
  • Substitution: Julian Schieber (In) / Ilkay Gündogan (Out) 90+2min (minute symbol)
  • Yellow Card: Robert Lewandowski 70min (minute symbol)
Real MadridEvents
  • Goal: Cristiano Ronaldo 43min (minute symbol)
  • Substitution: Karim Benzema (In) / Gonzalo Higuaín (Out) 68min (minute symbol)
  • Substitution: Ángel Di María (In) / Luka Modric (Out) 68min (minute symbol)
  • Substitution: Kaká (In) / Xabi Alonso (Out) 80min (minute symbol)
  • Yellow Card: Sami Khedira 54min (minute symbol)
  • Yellow Card: Mesut Özil 64min (minute symbol)
  • Yellow Card: Sergio Ramos 90+2min (minute symbol)
min (minute symbol)
Competition
Champions League
KO (kickoff)
24 Apr 2013 20:45
REF (referee)
Bjorn Kuipers
AT (venue)
Signal Iduna Park
FT (fulltime)

TAIFA STARS KUSHIRIKI MICHUANO YA COSAFA

Kim Poulsen kocha mkuu wa Taifa Stars.
Hii ni taarifa iliyotolewa na TFF kuwa Taifa Stars imealikwa kushiriki mashindano ya COSAFA na taarifa yenyewe ni hii hapa:-
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) itashiriki michuano ya Baraza la Vyama vya Mpira wa Miguu Kusini mwa Afrika (COSAFA) itakayofanyika Julai mwaka huu nchini Zambia.

Taifa Stars inashiriki michuano hiyo ya timu za Taifa za nchi wanachama wa COSAFA ikiwa timu mwalikwa. Nchi wanachama wa COSAFA ni Afrika Kusini, Angola, Botswana, Comoro, Lesotho, Madagascar, Malawi, Mauritius, Msumbiji, Namibia, Shelisheli, Swaziland, Zambia na Zimbabwe.

Michuano hiyo itafanyika kuanzia Julai 6 hadi 21 mwaka huu katika miji ya Lusaka, Ndola na Kabwe. Ratiba ya makundi ya michuano hiyo itapangwa Mei 3 mwaka huu jijini Lusaka.

Mara ya mwisho michuano hiyo ilifanyika miaka mitatu iliyopita. Hii itakuwa mara ya pili kwa Tanzania kushiriki michuano hiyo baada ya kucheza ya kwanza iliyofanyika mwaka 1996 nchini Zimbabwe.

Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager inatarajia kuingia kambini mwishoni mwa mwezi ujao kujiandaa kwa mechi ya Kombe la Dunia dhidi ya Morocco itakayochezwa Juni 8 mwaka huu jijini Marrakech.

Juni 16 mwaka huu Taifa Stars itacheza na Ivory Coast jijini Dar es Salaam katika mechi nyingine ya mchujo ya Kombe la Dunia wakati Juni mwishoni na Julai mwanzoni itacheza mechi ya Kombe la Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) dhidi ya Uganda.
Wakati huo huo, waandishi wa habari wanaotaka kuripoti michuano hiyo wanatakiwa kuwasilisha majina yao TFF kabla ya Aprili 27 mwaka huu ili maombi yao yatumwe COSAFA kwa ajili ya kupatiwa vitambulisho (Accreditation).



Boniface Wambura
Ofisa Habari
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)

Monday, April 22, 2013

HATRICK YA ROBIN VAN PERSIE YATOSHA KUWAPA UBINGWA MAN UNITED.

Robin van persie akifunga goli la 3 (Hatrick)
Ilikuwa ni dakika ya kwanza RVP alipoipatia timu ya Man United goli la kwanza dhidi ya timu ya Aston Villa katika mchezo wa ligi kuu ya Uingereza mchezo uliopigwa katika uwanja wa Old trafford.
Ni dakika ya 12 Van Persie tena akaipatia timu yake goli la pili.Goli la tatu lilifungwa na Van persie tena ikiwa ni dakika ya 32.Magoli yote yalipatikana katika kipindi cha kwanza.Kutokana na kufunga magoli hayo matatu,Van Persie alitoka uwanjani na mpira baada ya kupiga Hatrick.
RVP akishangilia goli.
Van Persie alionekana kuwa mwimba katika ngome ya Aston  Villa baada ya kuwasumbua vyakutosha mabeki wa timu hiyo.
Na huu ndo msimamo baada ya matokeo hayo hapo juu:-

Club Pld Pts
Man Utd 34 84
Man City 33 68
Arsenal 34 63
Chelsea 33 62
Tottenham 33 61
Everton 34 56
Liverpool 34 51
West Brom 33 45
Swansea 33 42
West Ham 34 42
Fulham 34 40
Southampton 34 39
Norwich 34 38
Sunderland 34 37
Stoke 34 37
Newcastle 34 37
Aston Villa 34 34
Wigan 33 31
QPR 34 24
Reading 34 24

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...