Tuesday, November 13, 2012

UBUNIFU.COM


Huu ni ubunifu uliopatikana mji kasoro bahari Morogoro,huyu kabadirisha piki pikiya tairi 2 na kuifanya daladala kwa kuiongezea kikapu nyuma na kuifunga turubai ili abiria wasiweze kunyeshewa mvua wala kupigwa jua.
Watanzania tunatakiwa kuendeleza vipaji tulivyikuwa navyo ili tuweze kuendelea.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...