Thursday, November 29, 2012

MATUMIZI SAHIHI YA RASILIMALI.

Katika harakati za kuhifadhi mazingira tunatakiwa kutumia kanuni ya 3R (Reduce,Reuse and Recycle).Hii imeonekana kutumika ipasavyo katika Manispaa ya Dodoma upande wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DUWASA).

Kuna gari ambalo lilinunuliwa mwaka 1954 lakini mpaka sasa linafanya kazi katika kituo cha kuzalisha maji cha Mzakwe ambacho ndo chanzo kikuu cha maji kwa mji wa Dodoma.
Nawapongeza sana Mamlaka ya majisafi na usafi wa Mazingira Dododma kwa kuweza kulitunza gari hili na kulifanya kumbukumbu.
Mamlaka zingine nchini ziige mfano wa Mamlaka ya majisafi Dododma ili kuweza kutunza rasilimali tulizonazo.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...