Tuesday, November 6, 2012

AFYA
Sehemu nyingi za kazi afya za watendaji wa kazi hazijaliwi.Kinachofanyika hapo ni mwajiri kuona kazi yake imekamilika lakini mazingira ya kukamilika kwa kazi hiyo hayafatilii na kuyafanyia kazi.Kutokana na Sheria ya Afya na Usalama kazini (The Occupational Health and Safety Act,2003) kifungu namba 62,wafanyakazi wote wanatakiwa kupewa vitendea kazi na vifaa vya kujikinga na madhara ya kazi wanazozifanya...
Expand this post »

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...