Tuesday, November 6, 2012

VIWANDA VYA MOROGORO VYATELEKEZWA.
Zilikuwa ni juhudi za Mwl.J.K.Nyerere za kujenga viwanda hasa eneo la Morogoro lakini cha kushangaza viwanda karibu vyote vimekufa hasa baada ya kubinafsishwa.
Mpaka sasa viwanda ambavyo vinahali mbaya ni kiwanda cha viatu cha MOROSHOE na kiwanda cha bidhaa zinazotokana na ngozi LEATHER GOODS.Viwanda hivi havifanyi kazi zaidi ya kuanza kuporomoka na kuanguka.
Wito wangu kwa serikali ni kuvifufua viwanda hivi ili vifanye kazi kama vilivyo kusudiwa ikizingatiwa kuwa ni fedha za kodi za wananchi ndo zilizotumika kujengea viwanda hivi.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...