Tuesday, November 6, 2012

HALI SI NZURI.
Jopo la wamahabari wa vyombo vya habari mbali mbali walitembelea vyanzo vya maji vya Manispaa ya Morogoro na kujionea hali halisi ya maji katika vyanzo hivyo.
Hali ya kusikitisha ilikutwa katika Bwawa la Mindu ambako maji yanazidi kukauka na kusababisha upungufu wa maji kuzidi kuongezeka.
Wakazi wote Morogoro na Tanzania kwa ujumla tuna jukumu la kutunza mazingira ili hata mvua ziweze kunyesha za kutosha.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...