Tuesday, November 6, 2012

INDUSTRIAL WASTE WATER MANAGEMENT.
Morogoro ni mji mmojawapo ambao Baba wa Taifa Mwl.J.K.Nyerere aliufanya uwe wa viwanda vingi ambavyo vilikuwa vya Tumbaku,Ngozi,Maturubai,Nguo,Magunia,Viatu n.k.Baada ya ujenzi wa viwanda hivi palijengwa mabwawa ya majitaka ya viwandani mahususi kwa kuhudumia hasa Kiwanda cha Selamic,Moroshoe na Canvas.Mabwawa hayo  yalikuwa chini ya miliki ya TLAI,lakini baada ya viwanda kubinafsishwa mabwawa hayo yakawa hayana mwangalizi kama inavyoonekana.
Ombi langu kwa serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,iangalie uwezekano wa kuyakarabati mabwawa haya ili kunusuru afya za wananchi.
4 photos

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...