Tuesday, November 6, 2012

HALI YA MAJI MOROGORO.
Wakazi wa Manispaa ya Morogoro wanategemea chanzo cha maji cha bwawa la Mindu kwa zaidi ya asilimia 70 (70%) .

 Bwawa hili lilianza kujengwa mwaka 1980 na kukamilika na kufunguliwa tarehe 09 Mei,1985 na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania- Mwl.Julius Kambarage Nyerere.

Bwawa hili lilikuwa na uwezo wa kutunza maji galoni bilioni 12 sawa na milioni 12 za meta za ujazo (12 million metre cube).Hata hivyo uwezo wake umeshapungua kutokana na kujaa tope linalotokana na shughuri mbali mbali za kijamii.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...