Tuesday, November 6, 2012

UKATAJI MITI OVYO.
Hili ni kanisa mojawapo hapa Manispaa ya Morogoro ambalo linatumia magogo kama viti vya kukalia waumini wake wawapo kanisani.Ili kuwa na matumizi endelevu ya rasilimali,bora zingepasuriwa mbao harafu tukatengeneza mabenchi kuliko kukata magogo kama inavyoonekana.
Hili ni kanisa la SAUTI YA UPONYAJI la NABII JOSHUA lililo Kihonda Viwandani karibu na Kiwanda cha Ngozi.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...