Tuesday, November 6, 2012

UKUSANYAJI NA USAFIRISHAJI TAKANGUMU MOROGORO.
Halmashauri ya Manispaa Morogoro katika kujitahidi kudhibiti uchafuzi wa mazingira imeanzisha sheria ndogo ya kutoa adhabu kwa kulipa Tsh.50,000/= kwa kila atakayekamatwa anachafua mazingira.Kwa kiasi firani  sheria hii imesaidia kupungua uchafuzi wa mazingira.
Hata hivyo,Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro imenunua magari 3 kwa ajili ya kusaidia ukusanyaji...
Expand this post »

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...