Tuesday, November 6, 2012

UKAME! UKAME! UKAME! UKAME!
Hali ya maji Morogoro inazidi kuwa mbaya baada ya Bwawa la Mindu kupungua kina cha maji kwa kasi baada ya ukame kuendelea kukausha maji.Hii yote inatokana na uchafuzi wa mazingira.Hivi ndivyo bwawa la Mindu linavyoonekana.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...