Tuesday, November 6, 2012

KUPASUKA BOMBA.
Bomba kubwa linalotoa maji bwawa la Mindu kupeleka sehemu ya kutibia maji Mafiga lenye kipenyo cha inchi 24 (24") sawa na milimeta 600 (600mm) limepasuka sehemu mbili tofauti.Bomba hili ndo linalosambaza maji mjini Morogoro zaidi ya asilimia 75.
Mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira inaendelea na juhudi za kulitengeneza bomba hilo kama inavyoonekana kwenye picha ili huduma ya maji ilejee haraka iwezekanavyo.
Matengenezo hayo yanatarajiwa kukamilika kabla ya yaa 12 jioni.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...