Wednesday, November 28, 2012

UZURI WA MBEGA UMEMPONZA,ANAWINDWA KWA UDI NA UVUMBA

MBEGA (COLOBUS MONKEY).
 Mbega ni kima wa nusufamilia Colobinae katika familia Cercopithecidae. Wanatokea Afrika na Asia. Spishi nyingi huishi mitini lakini spishi nyingine huishi savana zenye miti na hata mijini. Vidole gumba vya spishi za Afrika vimekuwa vigutu pengine ili kurahisisha kwenda katika miti. Mbega hula majani, maua na matunda, pengine wadudu na wanyama wadogo.
Bega wanapatikana hata katika safu za milima ya uluguru, lakini wanauwawa sana na wakazi wanaoishi karibu na safu za milima hii.



Domeni:
Himaya:
Animalia (Wanyama)
Faila:
Chordata (Wanyama wenye ugwe wa neva mgongoni)
Ngeli:
Mamalia (wenye viwele wanaonyonyesha wadogo wao)
Oda:
Primates (Wanyama wanaofanana kiasi na binadamu)
Nusuoda:
Haplorrhini (Wanyama wanaofanana zaidi na kima)
Oda ya chini:
Simiiformes (Wanyama kama kima)
Oda ndogo:
Catarrhini (Kima wa Dunia ya Kale)
Familia ya juu:
Familia:
Cercopithecidae (Wanyama walio na mnasaba na kima)
Nusufamilia:
Colobinae (Mbega)
Jenasi:
Nasalis E. Geoffroy, 1812
Piliocolobus Rochebrune, 1877
Presbytis Eschscholtz, 1821
Procolobus Rochebrune, 1877
Pygathrix E. Geoffroy, 1812
Rhinopithecus Milne-Edwards, 1872
Semnopithecus Desmarest, 1822
Simias Miller, 1903
Trachypithecus Reichenbach, 1862








Kuna spishi nyingi za Mbega na hapa ni baadhi ya spishi hizo:-

Spishi za Afrika

Spishi za Asia

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...