Tuesday, November 6, 2012

BARAZA LA WAFANYAKAZI.
Hili ni baraza la wafanyakazi la Mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira Morogoro (MORUWASA) lenye jumla ya wajumbe 42.Baraza hili lina majukumu mbali mbali ikiwa ni pamoja na kuwatetea wafanyakazi na kupitisha makisio ya bajeti za Mamlaka.
Baraza hili lilizinduliwa rasmi tarehe 13/06/2012 na Mwenyekiti Taifa wa Chama cha wafanya kazi wa serikali kuu na Afya (TUGHE) Dr.Mrutu.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...