Tuesday, November 6, 2012

UKUSANYAJI,USAFIRISHAJI NA UTUPAJI WA MAJITAKA MOROGORO.
Katika kuhakikisha kuwa ukusanyaji wa majitaka katika Manispaa ya Morogoro,MORUWASA inamiliki mabwawa ya majitaka ambayo yanatumika  kwa suala zima la utibuji majitaka yote yanayokusanywa kutoka katka maeneo mbali mbali ya Manispaa.
Hatahivyo,changamoto kubwa katika ukusanyaji wa majitaka ni kutokana na kutoenea katika maeneo makubwa ya Manispaa kwani ni 13% ya wateja wenye majisafi ndo wana huduma hii ya mtandao wa majitaka.
Hii ni kutokana na maeneo mengi kuwa na miinuko na mabonde,gharama za  kugharamia uunganishwaji.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...