Tuesday, November 6, 2012

USAFI WA MAZINGIRA MOROGORO.

USAFI WA MAZINGIRA MOROGORO.
Katika kuhakikisha kuwa mji wa Morogoro unakuwa safi Manispaa ya Morogoro inamiliki magari ya kunyonyea majitaka mawili na magari ya watu binafsi yako zaidi ya manne.
Magari haya hutumika kuwanyonyea wakazi wa Morogoro majitaka yakiwa yamejaa kwenye soak away pits.Majitaka hayo yakishanyonywa hutupwa katika mabwawa ya majitaka yaliyoko Mafisa yanayomilikiwa na MORUWASA ili kusiwepo na uchafuzi wa mazingira.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...