Tuesday, November 6, 2012

UCHAFUZI WA MAZINGIRA MOROGORO.
Huu ni uchafuzi wa mazingira unaoendelea katika Manispaa ya Morogoro ambao unafanywa na uchomaji wa taka ngumu katika dampo la taka ngumu lililoko Kihonda Viwandani.Badala ya kufukia taka ngumu hizo kama inavyotakiwa (Controlled tipping) licha ya eneo hilo kuruhusu,kinachofanyika ni kzichoma taka ngumu hizo na kusababisha uchafuzi wa hewa (Air pollution)

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...