Tuesday, November 6, 2012

DUMPING SITE MOROGORO MUNICIPAL.
Hii ndo hali halisi ya dampo la Manispaa ya Morogoro ambalo halijaliwi na wala halifanyi kazi yake kama ilivyokusudiwa .Taka ngumu zinamwagwa hadi getini kiasi kwamba hata gari la taka ngumu haliwezi kuingia kumwaga taka.Kibaya zaidi taka hizo zinachomwa hapo hapo zilipo mpaka moto unatoka nje ya fensi ya dampo hilo kama inavyoonekana.Swali langu kwa Halmashauri ya manispaa ya Morogoro Idara ya afya ,je,hali hii wanaijua? Kama wanaijua hatua gani zimechukuliwa.Badala ya kuwa contolled tipping inakuwa crude dumping.Tafakari,chukua hatua.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...