Monday, June 24, 2013

WAMILIKI WA MABASI ARUSHA & KILIMANJARO WASITISHA MGOMO.

Wamiliki wa mabasi Mikoa ya Arusha na Kilimanjaro wamesitisha mgomo wa kubeba abiria uliokuwa uanze leo kupinga magari ya Noah kuruhusiwa kubeba abiria.
Ikumbukwe kwamba kulikuwa na mvutano kati ya wamiliki wa mabasi na serikali juu ya kuruhusu Noah kutoa huduma ya kusafirisha abiria.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...