Tuesday, June 11, 2013

HATIMAYE LWAKATARE APATA DHAMANA.



Mkurugenzi wa Usalama wa CHADEMA, Wilfred Lwakatare ameachiwa kwa dhamana ya Shilingi milioni kumi kwa amri ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam.

Masharti mengine ya dhamana yaliyotimizwa ni pamoja na kuwa na wadhamini wawili wanaotambulika na pia kuikabidhi mahakama pasi yake ya kusafiria.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...