Akiuhutubia umati huo zaidi zaidi ameongelea swala la amani ya nchi yetu ya Tanzania.Akiongea Dr. Slaa amesema kuhubiri majukwaani,makanisani,misikitini,mikutanoni,vikaoni,bungeni au mahala popote kuwa tuilinde amani yetu ya Tanzania na kumuomba mwenyezi mungu ni uongo mtupu ikiwa amani hiyo hujaitengeneza na kuisababisha iwepo.
Akiendelea kuhutubia amesema mfanyakazi,mama lishe/baba lishe, machinga,mwendesha boda boda,polisi au mtu yeyote hawezi kuwa na amani wakati hana uhakika na maisha yake kwa umaskini.
| Dr.Slaa akijibu maswali yaliyoulizwa na baadhi ya watu waliohudhuria mkutano huo. |
| Watu wakiwa wanamsikiliza Dr.Slaa juu ghorofani kwenye jengo la CCM Mkoa wa Morogoro. |
| Ghari la matangazo la CHADEMA. |
| Mwanachama wa CUF akiwa anamuuliza maswali Dr.Slaa katika mkutano huo. |
| Wananchi wakilisindikiza gari la Dr.Slaa. |
| Askari polisi wakilisindikiza gari la Dr.Slaa. |
| Wakazi wa Morogoro wakilejea makwao baada ya mkutano. |
No comments:
Post a Comment