Wednesday, June 5, 2013

KENYA YAFUNGWA 1-0 NA NIGERIA,KATIKA HARAKATI ZA KUFUZU KOMBE LA DUNIA 2014

Mchuano wa kufa na kupona umeshuhudiwa kati ya bingwa wa Afrika Super Eagles wa Nigeria na Harambee Stars wa Kenya katika uwanja wa kimataifa wa Moi Kasarani mjini Nairobi-Kenya ambapo Nigeria wameshinda 1-0 dhiki ya Harambee Stars ya Kenya.
Goli la Nigeria limefungwa na Musa Ahmed kunako dakika ya 81 ya mchezo huo. Mashabiki wa .

Kikosi cha Harambe Stars: Mlinda mlango Duncan Ocheng, Safu ya ulinzi David Owino, Brian Mandela, David Ochieng . Wachezaji wa kiungo cha kati Mulinge Ndeto, Victor Wanyama, Jamal Mohammed, Johana Omolo na Peter Opiyo. Washambulizi ni Kefa Aswani na Fracis Kahata
 .Kikosi cha Eagles:Golikipa ni Enyeama, Efe, Oboabona, Omeroo Elderson, Onazi, Mikel, Mba,Oduamadi,Musa, Ideye

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...