Thursday, March 28, 2013

TETE BEACH PUB KUWAKA MOTO PASAKA HII NA Y2K SOUND

Sikukuu ya Pasaka Y2K SOUND MOROGORO itawasha moto katika viwanja vya Tete Beach Pub iliyoko Kihonda- Mazimbu road.

MaDj waliobobea wa Y2K Sound akiwemo Dj.R,Dj.Shebi zee, Dj.Parein watakuwa wanabengisha na kuwaburudisha wakazi wa Morogoro.

Katika burudani hiyo, mtu atahitajika kununua kinywaji tuu na kuendelea kuburudika.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...