Friday, March 8, 2013

KIKAO CHA BODI YA MAJI CHAFANYIKA MOROGORO

Kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Bonde la Wami/Ruvu Ndg.Washington Mutayoba na kulia ni Katibu wa Bodi Bi.Plaxeda Kalugendo
Kikao cha Bodi ya Maji kimefanyika leo katika ukumbi wa Edema mjini Morogoro.
Baadhi ya wajumbe la Bodi ya Bonde la Wami/Ruvu wakisikiliza kwa makini.
Katika kikao hicho mambo mbali mbali yamejadiliwa na mikakati ya kuboresha utendaji wa Ofisi ya Bonde la Wami/Ruvu imewekwa ili kuifanya Rasilimali Maji iwe endelevu.
Rasilimali Maji katika Wizara ya Maji inasimamiwa na Ofisi za mabonde yapatayo tisa (9) katika nchi nzima.


No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...