Monday, March 25, 2013

GARI LAFUNGA BARABARA YA DAR - MORO KWA MASAA KADHAA RUVU BAGAMOYO

Askari polisi wakisimamia usalama
Gari roli lenye namba za usajiri T451ARW liligongana na roli lenye namba za usajiri T475BNA eneo la Ruvu Wilaya ya Bagamoyo na kusababisha foleni kwa magari yanayotoka chalinze kwenda Dar na kutoka dar kwenda Chalinze.Foleni hiyo ilidumu kwa takribani muda usiopungua masaa matatu.
Foleni baada ya gari kuziba barabara
Kivutio zaidi ni pale vijana wapao 7 waliokuwa wakipakiza chokaa huku wakiwa hawana hata mask za kuzuia vumbi lisiwadhuru.
Vijana wakipakia chokaa




No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...