Friday, March 15, 2013

RAIS KIKWETE AKUSANYA ZAIDI YA MILIONI 250 KATIKA HARAMBEE YA KUJENGA KANISA MOROGORO

Rais Kikwete akiendesha harambee
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete aliendesha harambee ya kuchangia ujenzi wa jengo jipya la Kanisa katoliki la Kigurunyembe iliyofanyika katika ukumbi wa Bwalo la Maafisa wa Jeshi la Magadu mjini Morogoro usiku wa kuamkia leo Machi 15, 2013 akiongozwa na Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Morogoro, Mhashamu Telesphor Mkude. Zaidi ya Shilingi milioni 250 zilipatikana katika harambee hiyo, ikiwa ni zaidi ya lengo la kupata milioni 200 walilojiwekea.
Rais Kikwete akiwa na Askofu wa jimbo la Morogoro Mhashamu Telesphor Mkude.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...