Friday, March 15, 2013

Breaking news:WAHAMIAJI HARAMU 32 WAKAMATWA MKOANI RUKWA

Taarifa zilizotufikia hivi punde nikwamba Idara ya Uhamiaji mkoani Rukwa inawashikilia watu 32 wanao tuhumiwa kuwa wahamiaji haramu walioingia nchini kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Kumekuwa na matukio kadhaa ya kukamatwa kwa wahamiaji haramu katika maeneo tofauti ya nchi hii.
Taarifa zaidi tutawalete kadiri tutakavyokuwa tunazipata.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...