Thursday, March 28, 2013

Breaking News: MBUNGE WA CHAMBANI ALIYEANGUKA JANA AFARIKI DUNIA.


Mbunge wa Chambani-Pemba Mh. Salim Hemed Khamis aliyeanguka ghafla jana katika kikao cha kamati ya Bunge Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa amefariki dunia.
Kwa taarifa zilizotufikia hivi punde, nikwamba mbunge huyo amefariki mchana huu na mpango wa kusafirisha mwili wa marehemu kuelekea visiwani Zanzibar zinafanyika.
Taarifa zaidi zitawajia kadiri tutakavyokuwa tunazidi kuzipata.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...