Monday, March 25, 2013

MAN UNITED YAFANIKIWA KUMSAINISHA BEKI WA KATI EZEQUIEL GARAY KUTOKA BENFICA.

Timu ya Manchester United imwfanikiwa kumsainisha Ezequiel Garay kutoka Benfica kwa kitita cha Paundi Mil.17.Man U na Benfica zimekubaliana kuwa Garay atahamia Old Traford majuma machache yajayo ili aweze kuichezea timu hiyo wakati wa kiangazi.

Garay mwenye umri wa miaka 26 aliyezaliwa Bosario tarehe 10.10.1986 amekuwa akizungumziwa mara kwa mara kuwa anawaniwa na Mashetani wekundu.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...