Thursday, March 14, 2013

RAIS KIKWETE ATEMBELEA CHUO KIKUU CHA WAISLAM CHA MOROGORO


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Jakaya Mrisho Kikwete leo asubuhi ametembelea Chuo Kikuu cha Waislamu Morogoro (MUM)
Jengo la ITC la Chuo Kikuu cha Waislamu cha Morogoro lililowekwa jiwe la msingi na Rais Kikwete.
Katika ziara hiyo Rais ameweka jiwe la msingi katika jengo la kituo cha "Information Technology and Communication" (ITC) na kuzindua jengo la Kitivo cha Sayansi cha chuo hicho.

Ziara ya Rais hii leo itaendelea kwa kuelekea Magadu Mesi ambako atafanya halambee ya kuchangisha fedha za kujenga kanisa katoliki la Kigurunyembe.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...