Thursday, March 21, 2013

KIKAO CHA KAMATI YA MAZINGIRA CHAFANYIKA CHINI YA NAIBU SPIKA UBELGIJI

Mheshimiwa Naibu Spika akiwasilisha taarifa kwenye kikao kinachoendelea Ubelgiji.
 Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Jobu Ndugai ameongoza kikao cha kamati ya mazingira na masuala ya jamii ya Mabunge ya Afrika, Carribian na Pacific (ACP) kinachoendelea kufanyika huko Brussels Ubelgiji.
Katika taarifa yake Mh.Ndugai amezungumzia ongezeko kubwa la watu Duniani pamoja na ukosefu wa rasilimali za kuwahudumia.
Picha na Said Yakub

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...