Friday, March 8, 2013

SIKU YA WANAWAKE YAFANA MOROGORO

Baadhi ya wanawake wa MORUWASA na Ofisi Za Bonde la Wami /Ruvu wakiwa tayari kuelekea kwenye maandamano.
Katika kusherehekea siku ya wanawake Duniani,mwandishi wa blogu hii amepita sehemu mbali mbali za mji wa Morogoro na kuwakuta wanawake wakiwa na furaha isiyokuwa na kifani.

Sehemu mojawapo ni katika ofisi za serikali MORUWASA na Ofisi za Bonde la Wami/Ruvu ambapo baadhi ya wanawake wa Ofisi hizo wamekutwa wakijiandaa kuelekea kwenye maandamano.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...