Friday, July 19, 2013

WAETHIOPIA 20 MBARONI MKOANI PWANI.

Polisi Mkoani Pwani inawashikilia watu 20 ambao ni Raia wa Ethiopia baada ya kuwakamata jana usiku Wilayani Mkuranga wakiwa safarini kuelekea Mikoa ya Kusini.
Habari kamili endelea kutembelea blogu hii.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...