Tuesday, July 30, 2013

HABARI KWA UFUPI: KUTOKA DAR - BARABARA KUFUNGWA,KENYA- HUKUMU YA KIFO YATOLEWA NA ITALIA - MASHOGA WASIHUKUMIWE.

ARDHI YAMILIKIWA KIHOLELA:
Mbunge halima Mdee akerwa na wenye dhamana kuwamilikisha wageni ardhi kiholela bila kupitia kituo cha uwekezaji (TIC) nchini.

BARABARA KUFUNGWA:
Nyerere road,railway,Gerezani na Sokoine zitafungwa saa 6:00 - 7:30 leo mchana kupisha ujio wa Waziri Mkuu wa Thailand, Yingluck Shinawatra.

HUKUMU YA KIFO KENYA:
Mahakama ya Kenya imemhukumu Ali Batitu Kololo kifungo cha maisha kwa kumuua mtalii Muingereza David Tebbutt na kumteka mkewe Judith mwaka 2011.

USHOGA ROMA:
Papa Francis ataka mashoga na wasagaji wasitengwe,wafanywe ni sehemu ya jamii.Ahoji wakimkiri Bwana na kuwa na nia njema, mimi ni nsani niwahukumu?

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...