Monday, July 8, 2013

BREAKING NEWS: MOTO WAUNGUZA MLIMA KILIMANJARO.



Moto mkali umezuka eneo la Maranda katika mlima Kilimanjaro lililopo urefu wa mita 2,700. Chanzo cha moto huo hakijajulikana na juhudi za kuzima moto huo zinaendelea.

Habari zaidi kuhusiana na tukio hili tutaendelea kuwaletea kadili tutakavyokuwa tunazipata.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...