Friday, July 19, 2013

MAJAMBAZI 2 WAMVAMIA MFANYABIASHARA NA KUMUUA DAR, UGUJA WATAKA SARAFU 3 KATIKA KATIBA NA JIJI LAFIRISIKA MAREKANI.

KUTOKA DAR:
Majambazi 2 wamemvamia mfanyabiashara Abdulkarim Salmin akitokea benki Magomeni saa 4  asubuhi na kumpora mkoba pamoja na kuuawa kwa kupigwa risasi kifuani mbele ya mwanae.

Kutoka Unguja: WATAKA SARAFU 3
wajumbe wa baraza la katiba Kaskazini a wametaka sarafu tofauti Bara na Zanzibar na sarafu ya Muungano iandaliwe kwa matumizi ya pande zote.

Kutoka Marekani: JIJI LAFILISIKA.
Jiji la Detroit la marekani linalosifika kwa kutengeneza magari limefilisika kutokana na kuelemewa na deni linalokaribia dola bilioni 20.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...