Wednesday, July 3, 2013

HIVI NDIVYO RAIS KIKWETE ALIVYOFUNGUA MKUTANO WA WAKE WA MARAIS.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais Mstaafu wa Marekani Mhe. George W. Bush na Mkewe Laura na Mama Salma Kikwete wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wake wa Marais wa Afrika Mashariki jana Julai 2, 2013 katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam.

Wageni wakimsikiliza Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano wa wake wa Marais wa Afrika Mashariki jana Julai 2, 2013 katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano wa wake wa Marais wa Afrika Mashariki jana Julai 2, 2013 katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...