Friday, July 26, 2013

RAIS JAKAYA KIKWETE AZINDUA JENGO LA MAHAKAMA KUU KANDA YA BUKOBA.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifungua pazia kuzindua rasmi jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba jana Julai 25, 2013.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi jengo la Mahakama Kuu Kanda ya Bukoba jana Julai 25, 2013. Aliyeshika utepe ni Jaji Mkuu, Othman Chande.


Rais Kikwete akifuatana na Jaji Mkuu wakati akikagua jengo la mahakama hiyo.

Jaji Mkuu Othman Chande akimpa maelezo Rais Kikwete wakati wakiwa kwenye jengo la mahakama hiyo.

Rais Jakaya Kikwete na Jaji Mkuu wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine wa mahakama waliohudhuria uzinduzi wa jengo hilo la mahakama.

Baadhi ya watu waliofika kwenye sherehe za uzinduzi wa jengo hilo. Picha na Ikulu.

No comments:

Post a Comment

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...